logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Siwezi kukupa ulimwengu lakini nitakufundisha neno na njia za Mungu-Zari amwambia mwanawe

Leo ni mtoto wake na Diamond Platinumz siku ya kuzaliwa ya Prince Nillan anatimiza miaka 5.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri06 December 2021 - 12:53

Muhtasari


  • Leo ni mtoto wake na Diamond Platinumz siku ya kuzaliwa ya Prince Nillan anatimiza miaka 5

Mwanabiashara maarufu na mwasosholaiti kutoka Uganda Zari Hassan maarufu kama Zari the boss lady anasherehekea siku ya kuzaliwa ya wanawe leo.

Ana jumla ya watoto 5, wavulana 3 kutoka kwa ndoa yake ya kwanza na marehemu Ivan Ssemwanga na wengine 2 mvulana na msichana kutoka kwa ndoa yake na mumewe wa zamani Diamond Platinumz.

Leo ni mtoto wake na Diamond Platinumz siku ya kuzaliwa ya Prince Nillan anatimiza miaka 5.

Zari alimwandikia mwanawe anda ujumbe mtamu wa siku yake ya kuzaliwa akisema,

 

'Heri ya kuzaliwa kwa Amigo mtukutu zaidi wa nyumbani, nina hakika kwamba hukujua hili, siwezi' siwezi kukupa ulimwengu lakini nitakufundisha neno na njia za Mungu, ukiweza kujifunza na kutawala kwamba ulimwengu utakuwa wako, Mungu akubariki kwa ajili yangu'.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved