logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wakati mtu anakuitisha picha za uchi wako mpe block mara moja-Benjamin Zulu

Kulingana na mshauri huyo mtu wa kawaida hawezi piga picha za uchi wake

image
na Radio Jambo

Habari20 December 2021 - 11:43

Muhtasari


  • Kulingana na mshauri huyo mtu wa kawaida hawezi piga picha za uchi wake na kuanza kusambaza mitandaoni

Mshauri Benjamin Zulu, kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amewashaui mashbiki wake dhidi ya kuwatumia watu picha za uchi wao.

Kulingana na mshauri huyo mtu wa kawaida hawezi piga picha za uchi wake na kuanza kusambaza mitandaoni.

"Nitumie picha yenye inapendeza, Tena  wakai mtu atakutumia picha za uchi wake au kukuitisha picha za uchi wako mpe block mara moja

Mtu mwenye akili timamu hawezi zingatia kamera yake kwenye sehemu za siri na kuanza kuzisamabaza picha kama hizo

wametawaliwa na ngono na wamepagawa na mapepo ya tamaa, hawahitaji mapenzi au uhusiano wanahitaji kufukuzwa na mtu anayekudharau kiasi cha kukushirikisha kwa njia mbaya na isiyo na heshima kamwe hawezi kukuthamini," Alisema Zulu.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved