logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Siwezi kufanya ngono na mwanamume ambaye ana mpenzi-Huddah Monroe akiri

Kulingana na Huddah wanaume wengi wakiwa wadogo hawajawahi onyeshwa upendo wa kweli

image
na Radio Jambo

Burudani24 December 2021 - 08:46

Muhtasari


  • Kulingana na Huddah wanaume wengi wakiwa wadogo hawajawahi onyeshwa upendo wa kweli
Screenshot.from.2019.10.17.12.37.26

Mwanasosholaiti marufu Huddah Monroe, amekuwa akiwaacha mashabiki na hisia tofauti baada ya kuwakejeli na kuwasuta wanaume ambao hawajakuwa wakitosheka na mwanamke mmoja.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Huddah amedai kwamba hawezi fanya ngono na mwanamume ambaye ana mpenzi mwingine kwani hilo ni kujidharau.

"Siwezi fanya ngono na mwanamume ambaye ana mwanamke au mpenzi nyumbani kwake, siwezi fikiria kutoheshimu, wengi wenu mna nguvu kama hiyo mimi sina."

Kulingana na Huddah wanaume wengi wakiwa wadogo hawajawahi onyeshwa upendo wa kweli huku hisia zao zikiumizwa.

"Wanaume wenhi haswa waafrika hawajahi pendwa vizuri wakati walipokuwa wachanga,hsia zao ziliepukwa na kuambiwa wanapaswa kuwa wanaume

Ndio maana huwa wana lala na wanawake weni kwa uthibitishosio biolijia wanaume wanaweza jitengeneza uthibitisho ni dawa ghali sana

Namjua mwanamume ambaye ameumia moyo nikiona mmoja,mimi sio jehova lakini naweza jaribu kukusaidia, lakini unapaswa kuuliza usaidiz,"Huddah alisema.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved