logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Leo nitukane mpaka Ile ya ndani,'Akothee awaambia mashabiki wake

Chapisho hili lilivutia hisia za Wakenya ambapo lilikuwa na zaidi ya matusi elfu mbili.

image
na Radio Jambo

Burudani25 December 2021 - 07:23

Muhtasari


  • Akothee awapa mashaiki wake fursa ya kumtusi
  • Aliongeza na kuwaambia kwamba anawataka haswa wale ambao wamekata tamaa na hawana mahali pa kumwaga mafadhaiko yao

Mjasirimali maarufu Esther Akoth almaarufu Akothee ​​alichapisha kwenye ukurasa wake rasmi wa instagram akiwapa wafuasi wake fursa ya kumtusi.

Kulingana naye alisema kuwa anawapa mashabiki wake wote nafasi ya kumtukana akiwataka wasiogope kwa sababu hatawapa block, lakini atawajibu vyema.

Aliongeza na kuwaambia kwamba anawataka haswa wale ambao wamekata tamaa na hawana mahali pa kumwaga mafadhaiko yao.

Chapisho hili lilivutia hisia za Wakenya ambapo lilikuwa na zaidi ya matusi elfu mbili.

"Leo ni siku ya matusi kwa ajili yetu nataka kuwapa mashabiki wangu wote fursa ya kunitukana, tafadhali usiogope, sitawapa block, lakini nitahudhuria kwa matusi.

Hasa wale ambao wanasumbuliwa na hawana wapi kumwaga mashaka yao 🤣 kuleta hapa mtoto

Leo NitUkane Mpaka Ile Ya Ndaniiiiii, NDANIII. Usikie Viziri. Hii ndio krisnas yangu kwa kama shabiki wangu. Baby Matusi tafadhali 🤣💋," Aliandika Akothee.

Haya a si wadau mmepewa fursa na msanii huyo ya kumtusi vile mnavyotaka.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved