logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Huwezi kuoa au kulala na wanawake wote-Ujumbe wake Jimal uliozua gumzo mitandaoni

Pia aliwashauri na kusema kwamba wanawake wazuriΒ  wamo kila mahai.

image
na Radio Jambo

Habari03 January 2022 - 06:36

Muhtasari


  • Ujumbe wake Jimal uliozua gumzo mitandaoni

Mfanyibiashara Jimal Roho Safi alifahamika na kugonga vichwa vya habari mwaka wa 2021, baada ya kuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mwanasosholaiti Amberay.

Uhusiano wa waiili hao ulidumu kwa siku chache, huku mkewe JImal akidai kupewa talaka kutokana na kutoheshimiwa na mumewe.

Akiwa kwenye mahojiano na Radiojambo,Amira alidai kwamba alijua kuhusu uhusiano wa mumewe na Amber kupitia mitandao ya kijamii.

JImal ameibua hisia mitandaoni, kati ya mashabiki baada ya kuwapa ushauri kwamba hawawezi kulaa na wanawake wote ambao wanapatana nao.

Pia aliwashauri na kusema kwamba wanawake wazuri  wamo kila mahai.

"Huwezi kuoa au kulala na wanwake wote wanaokujia, wanawake waremboo watakuwa  hapo daima,utakutana na warembo kila siku, jifunze kuwa na nidhamu na kujidhibiti," Alisema Jimal.

Mahabiki wengi waliona ujumbe wake kuwa kinaya, huku baadhi yao wakimwamia kwamba ujumbe huo ni wake.

Haya hapa baadhi ya maoni yao;

kamurlicious_betty: Hii message ni yako aki ungesoma polepoleπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

_deivan_: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚una preach something that you don't practiceπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ bwana mkunaji wa amber πŸ˜‚πŸ˜‚where is your wife πŸ˜‚πŸ˜‚

wanjiru_mbugua_keLook who's talkingπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.....πŸ™Œ

theevescollection: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ you are motivating yourself

abdikhafarissack: Bwana mkunaji mwenyewe anatupea some advice.. LoLπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved