logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Raila Odinga:Tazama picha za hafla ya siku ya kuzaliwa ya Raila iliyofanyika Bomas

Karamu hiyo iliyoandaliwa katika ukumbi wa Bomas of Kenya

image
na Radio Jambo

Yanayojiri07 January 2022 - 13:32

Muhtasari


  • Tazama picha za hafla ya siku ya kuzaliwa ya Raila iliyofanyika Bomas

Kinara wa ODM Raila Odinga alikuwa mwana wa siku aliposherehekea sherehe yake ya kutimiza miaka 77 mnamo Ijumaa 07, 2022.

Karamu hiyo iliyoandaliwa katika ukumbi wa Bomas of Kenya ilihudhuriwa na aina tofauti ya wakenya huku ikiwemo wanasiasa.

"Nilipenda kutikisa mguu na vijana na wasichana wa Bomas. Tulishiriki vicheko vikali, tukaweka miguu yetu vizuri mbele, na tulitafakari tulipokuwa tukisherehekea siku yangu ya kuzaliwa. Asanteni nyote kwa heri njema ya siku ya kuzaliwa," alisema kwenye tweet. .

Mapema katika siku hiyo, kaunti mbalimbali pia zilisherehekea Baba kwa keki zao.

Kupitia ukurusa wake wa Twitter,Ruto amemtakia Kinara waziri huyo mkuu wa zamani miaka mingi duniani.

"Heri ya kuzaliwa Jacom. Ubarikiwe na mengine mengi. @RailaOdinga" Alinakili Ruto.

Hizi hapa baadhi ya picha za hafla hiyo;

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved