logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Akothee afichua sababu ya kununua simu na kadi ya simu mpya kila mwaka

Akothee anafahamika sana kwa ajili ya bidii ya kazi yake, na maisha anayoishi ya kifahari.

image
na Radio Jambo

Burudani22 January 2022 - 10:04

Muhtasari


  • Akothee afichua sababu ya kununua simu na kadi ya simu mpya kila mwaka

Msanii tajika Esther Akoth almaarufu Akothee kupitia kwenye ukura wake wa instaram amefichua sababu kuu ya kubadilisha kadi ya simu na simu mpya kila mwaka.

Akothee anafahamika sana kwa ajili ya bidii ya kazi yake, na maisha anayoishi ya kifahari.

Kulingana na Akothee sababu yake kuu ya kununua simu mpya kila mwaka ni kujiepusha na mahusiano yenye sumu, na pia hapendi kuwapa watu block.

"Mimi hununua simu mpya na laini mpya kila mwaka, ili tu kuacha nishati hasi, yenye sumu niliyokusanya katika mwaka!

Sijui baadhi yenu mnawezaje kukabiliana na laini moja ambayo kila mtu anapiga πŸ€”πŸ€”πŸ€” Pia sijui watu wachache ninaowapa namba yangu wanaishiaje kuitoa πŸ€” Kwa vile sijui kujifanya na kuwapa block najihisi kukosa heshima, nasogea tu harakaharaka. Kwa mstari mpya 🀣🀣🀣🀣🀣 Inaitwa Maisha Usafi," Akothee Aliandik


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved