logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Lala salama!Anne Kansiime afiwa na baba mzazi

Kifo chake kinajiri miezi chache baada ya mchekeshaji huyo kumpoteza mama yake.

image
na Radio Jambo

Burudani27 January 2022 - 10:07

Muhtasari


  • Kifo chake kinajiri miezi chache baada ya mchekeshaji huyo kumpoteza mama yake
kansiime

Mchekeshaji maarufu kutoka Uganda Anne Kansiime yuko kwenye maombolezi baada ya kumpoteza baba yake mzazi.

Habari za kifo chake baba yake Kansiime zilitangazwa na mwnaablogu maarfufu nchini Uganda.

Kifo chake kinajiri miezi chache baada ya mchekeshaji huyo kumpoteza mama yake.

Kansiime hajapakia chochote kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kifo cha bab yake, bali mashabiki wametuma jumbe za rambirambi na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

akello.jackie: My very sincere condolences to you and your family.

kiwanukaaaron: 😒😒😒😒😒 so sorry ka maama. Mukama akugumye dear..R.I.P dad..

hellenzeshy: Sorry for her dad bmb

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved