logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nitakupeza,'Anne Kansiime amuomboleza baba yake

Kifo cha baba Kansiime kinajiri miezi chache baada ya msanii huyo kumpoteza mama yake mzazi.

image
na Radio Jambo

Burudani27 January 2022 - 13:11

Muhtasari


  • Anne Kansiime amuomboleza baba yake
kansiime

Mcheshi Anne Kansiime anaomboleza kufuatia kifo cha baba yake,ambaye aliaga dunia siku ya Alhamisi.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Kansiime alimshukuru baba yake kwa kumuonyesha njia ya jinsi ataenda kumpeza.

"Asante kwa kutuonyesha jinsi tunaenda kukukosa," Aliandika Kansiime.

Kupitia kwenye chapisho lingine alisema kwamba;

"Mahusiano ya mbali ni ngumu sana,baba yangu ameenda kuwa na mama yangu."

Kifo cha baba Kansiime kinajiri miezi chache baada ya msanii huyo kumpoteza mama yake mzazi.

Habari za kifo chake baba yake Kansiime zilitangazwa na mwnaablogu maarufu nchini Uganda.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved