logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Usimchezee mtoto wa watu,'Romyjons amwambia Diamond huku uvumi wa hurusi yake ukienea

Pia alisema kwamba hajawahi muona mwanawe kwani haruhusiwi.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri05 April 2022 - 13:00

Muhtasari


  • Mitandao ya kijamii imezidi kuwaka moto baada ya uvumi kuenea na kuvuma kwamba staa wa bongo Diamond Platnumz amefunga pingu za maisha

Mitandao ya kijamii imezidi kuwaka moto baada ya uvumi kuenea na kuvuma kwamba staa wa bongo Diamond Platnumz amefunga pingu za maisha.

Habari hizo zilitangawa na Wasafi Fm huku mama yake akifichua kwamba mwanawe amefunga pingu za maisha.

Kupitia kwenye ukurasa wa instagram wa nduguye msanii huyo, alimuonya dhidi ya kumchezea msichana wa watu.

Mapema mwezi jana staa huyo wa bongo alikiri kwamba anajua kwamba yeye ni 'player' na kuwa ana mtoto na mwanamke aliyeoolewa.

Pia alisema kwamba hajawahi muona mwanawe kwani haruhusiwi.

Jumbe wake Romy Jons umeibua hisia mitandaoni, huku baadhi ya wanamitandao wakidai kwamba Diamond hawezi kukaa na mwanamke mmoja.

"Mara ya mwisho narudia bwana NASIBUMFUNGE NDOA MWEZI HUU MAANA BARAKA ZAKE ALLAH NDIO ANAZIJUAUSIMCHEZEE MTOTO WA WATU," Romy Aliandika.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved