logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Lilian Ng'ang'a awalaani waajiri wanaowalazimu vijakazi kuvalia sare za kazi nje ya nyumba

Lilian  alishiriki chapisho refu kwenye hadithi za Instagram ambapo alizungumzia jinsi inavyodhalilisha

image
na Radio Jambo

Habari23 May 2022 - 10:49

Muhtasari


  • Aliyekuwa mke wa gavana wa kaunti ya Machakos, Lilian Nganga wamekashifu waajiri wanaowalazimu viijkazi kuvaa sare zao za kazi nje ya nyumba

Aliyekuwa mke wa gavana wa kaunti ya Machakos, Lilian Nganga wamekashifu waajiri wanaowalazimu viijkazi kuvaa sare zao za kazi nje ya nyumba.

Akiongea kupitia jukwaa lake la Instagram, Lilian alisema kuwa anawahukumu vikali watu wanaofanya wahudumu wa nyumba zao kuvaa sare kwenye mgahawa au maduka makubwa na sehemu nyingine za umma.

Lilian  alishiriki chapisho refu kwenye hadithi za Instagram ambapo alizungumzia jinsi inavyodhalilisha mtu kwenda mahali pa umma kama vile mkahawa au maduka makubwa akiwa amevaa sare.

"Inadhalilisha na kuona haifai mfanyikazi wako kuvalia sare zake za kazi kwenye maduka makubwa au kwenye umma, na wahukumu waaajiri sana sana vibaya," Alisema Lilian.

LIlian anonekana kuendele vyema na maisha yake baada ya kuachana na Mutua, huku kutengena kwao kukiibua hisia nyini mitandaoni.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved