logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Namshukuru Mungu,'Mwigizaji Awinja asherehekea siku ya kualiwa ya mwanawe

Awinja alifahamika sana kupitia uigizaji wake kwenye kipindi cha Papa Shirandula.

image
na Radio Jambo

Habari03 June 2022 - 12:03

Muhtasari


  • Mwigizaji Awinja asherehekea siku ya kualiwa ya mwanawe

Jacky Vike almaarufu Awinja ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao safari yao ya uigizaji inafahamika sana na mashabiki.

Awinja alifahamika sana kupitia uigizaji wake kwenye kipindi cha Papa Shirandula.

Ni furaha ya kila mzazi kumuona mwanawe ana kua na akiwa na afya njema,mwanawe Awinja anaadhimisha mika 5 hii leo.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagrama Awina alisema kwamba ahana mengi ya kusema bali kumshukuru Mungu kwa yote ambayo ametenda maishani mwa mwanawe.

Mama huyo wa mtoto mmoja pia anafahamika kupiti video zae za ucheshi ambazo huwapendeza wngi.

Huu hapa ujumbe wake kwa mwanawe anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa;

"Nyinyi!! Mwanangu anatimiza miaka 5 leo!😩 huu ni moyo wangu wote katika picha hii, Sina mengi ya kusema lakini kumshukuru Mungu, imekuwa safari nzuri na tunawaombea wengi zaidi!Heri ya siku ya kuzaliwa MOSI❤️ Tumeni za SpiderMan nimpee 😁,"Awinja Aliandika.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved