logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wanamitandao wamtakia Simon Kabu afueni ya haraka baada ya kulzawa hospitali

Habari za ugonjwa wake zilitangazwa na mkewe Saraha Kabu

image
na Radio Jambo

Habari15 June 2022 - 12:50

Muhtasari


  • Wanamitandao wamtakia Simon Kabu afueni ya haraka baada ya kulzawa hospitali
Sarah Kabu na Simon Kabu

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ya Bonifire Simon Kabu anaendelea kupata afueni baada ya kufanyiwa upasuaji siku ya Jumanne.

Habari za ugonjwa wake zilitangazwa na mkewe Saraha Kabu kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram.

Saraha akufichua alichokuwa anaugua mumewe, bali aliwataka mashabiki wamtakie afueni ya haraka.

"Hapa ndipo unapoelewa kwanini iliwabidi kujumuisha KATIKA UGONJWA NA AFYA KWA NADHIRI ZA NDOA. Unapomsindikiza mwenzi wako anapoenda theatre halafu anakuomba busu la kwaheri πŸ’‹ kabla hajatuliza basi unakumbuka wimbo wa @evans_demathew 🎡 akijira uka ngumumunye... 😭😭wah jana ilikuwa ni siku ya hisia hasa ile 1hr alikuwa ndani ya theatre. ila tunamshukuru Mungu kwa utaratibu uliendelea vizuri πŸ™ ungana nami kumtakia mume wangu @kabusimon apone haraka πŸ™ ❀️,"Aliandika Sarah.

Haya yanajiri baada ya wawili hao kuanika ugomvi wao mitandaoni miezi chache iliyopita, huku wakirudiana baada ya muda mfupi.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved