logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vera Sidika afichua mambo 2 yanayomfanya awape watu block mtandaoni

"Kinachoshangaza ni kwamba bado watafungua akaunti ghushi ili kutazama kila hatua

image

Burudani26 June 2022 - 06:00

Muhtasari


  • Vera Sidika afichua mambo 2 yanayomfanya awape watu block mtandaoni

Mwanasosholaiti na mama wa mtoto mmoja, Vera Sidika amefichua vigezo anavyotumia anapowapa block wafuasi kutoka kwenye mitandao yake ya kijamii.

Akimjibu shabiki ambaye alikuwa anataka kujua kuhusu watu ambao amewapa block  kwenye ukurasa wake wa Instagram, Vera alifichua kuwa hawapi block wafuasi bila sababu.

"Wewe njoo kwa DM yangu ukiandika paragraphs of bullsh*t while i mind my business, sitakujibu. Utakula block roho safi.

"Unachukia moja kwa moja bila sababu, nitakupa block ili kukuokoa nishati. Labda kupata ukurasa wangu kunazua chuki. Kwa hivyo nitakuepushia shidakwa kukupa block," Vera Alisema.

"Kinachoshangaza ni kwamba bado watafungua akaunti ghushi ili kutazama kila hatua huku wakizunguka wakiwa watoto wachanga wanaolia na wamezuiliwa," alisema.

Jibu linakuja wakati Corazon Kwamboka na rapa Noti Flow wote walithibitisha kuwa Vera amewapa block  kwenye Instagram.

“Nimekutana naye takribani miaka sita iliyopita lakini hatuingiliani, huwa siangaliiukurasa wa Instagram wa Vera Sidika, kwa sababu fulani nimepewa block... "Nimejua kwa miaka kuwa ameniblock," Alizsema Corazon akiw kwenye mhojiano.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved