logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vijana hawana shukrani-Lukamba akashifiwa na blogu kwa kumdharau Diamond

Leo msanii huyo amekashifiwa na moja ya kurasa maarufu za blogu nchini Tanzania.

image
na Radio Jambo

Habari02 September 2022 - 17:02

Muhtasari


  • Diamond anamiliki rekodi kubwa zaidi nchini Tanzania . Lebo ya Wasafi imekuza miongoni mwa wasanii wakubwa wa Tanzania

Diamond Platinumz ni msanii maarufu wa Tanzania na miongoni mwa wasanii wa kimataifa wanaojulikana kwa kuimba kwa lugha ya mama.

Ni baba wa watoto wanne.

Diamond anamiliki rekodi kubwa zaidi nchini Tanzania . Lebo ya Wasafi imekuza miongoni mwa wasanii wakubwa wa Tanzania.

Hawa ni pamoja na Harmonize, Lukamba, Rayvanny, Richard Mavoko, mboso na Zuchu miongoni mwa wengine.

Hata hivyo licha ya yeye kuwasaidia kupitia msanii huyo wameiacha label hiyo wengine wakiwa katika hali nzuri wengine wakiwa katika hali mbaya .

Lukamba ni miongoni mwa wasanii ambao wameachana na Wasafi kwenye mahusiano mabaya na bosi wake .

Leo msanii huyo amekashifiwa na moja ya kurasa maarufu za blogu nchini Tanzania.

Hii ni kwa tabia yake ya kutokuwa na shukrani aliyoionyesha kwa bosi wake hata baada ya kupokea gari kutoka kwake.

Lukamba alikuwa mpiga picha wake rasmi lakini kwa sasa aliondoka na kuanzisha kampuni yake.

"Lukamba aliliaa sanaa alivyopewa gari na simba ila leo anamdharau hawa vijana hawa hawana shukrani kabisa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…."

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved