logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nataka kuwa mtu wa kwanza kumwambia kilichomfanyikia baba yake- Matete afichua hofu yake kuu

Mumewe msanii huyo aliaga dunia Aprili 2020, baada ya kuchomeka na gesi akiwa nyumbani.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri28 September 2022 - 19:45

Muhtasari


  • Kulingana na Ruth ana hofu jinsi mwanawe ata hisi baada ya madai ya uongo kwamba alimuua mumewe
ruthmatete

Msanii wa nyimbo za injili Ruth Matete, kupitia kwenye Youtube amefichua hofu yake kuu, baada ya mwanawe kukua.

Kulingana na Ruth ana hofu jinsi mwanawe ata hisi baada ya madai ya uongo kwamba alimuua mumewe.

Mumewe msanii huyo aliaga dunia Aprili 2020, baada ya kuchomeka na gesi akiwa nyumbani.

"Mimi huogopa kuwa siku moja atatoka pale nje ,kisha mtu amwambie kwaba nilimuua baba yake

Kwa hivyo wakatii mwingine hufikiria kuhusu mambo hayo, na nataka kuwa wa kwanza kumwambia kichomtendekea baba yake,natamani baba yak angekuwa hapa ili mtoto ahisi upendo wa mama na baba

Nan mambo haya ya kidigitali napaswa kuanza mapema ili wakati atajua mambo nitamjulisha," Alizungumza Ruth.

Ruth alisema kwamba anahisi baadhi ya watu hawampendi,ata baada ya  habari za kifo cha mumewe kuwekwa bayana.

Msanii huyo alirejelea yale yalitendeka wakati wa tukio hilo la kuhuzunisha.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved