logo

NOW ON AIR

Listen in Live

[PICHA] DJ Joe Mfalme na wenzake wafikishwa mahakamani

DJ huyo alifika mahakamani pamoja na wafanyakazi watatu wake.

image
na Davis Ojiambo

Burudani25 March 2024 - 11:24

Muhtasari


  • • DJ huyo alifika mahakamani pamoja na wafanyakazi watatu wake na maafisa watatu wa polisi walioshtumiwa kwa mauaji hayo.
DJ JOE MFALME akiwa kizimbani na wenzake

DJ Joe Mfalme, mapema Jumatatu alifajiri alifikishwa katika Mahakama ya Kibra kuhusu mauaji ya Inspekta wa Polisi kufuatia mzozo Machi 16.

DJ huyo alifika mahakamani pamoja na wafanyakazi watatu wake na maafisa watatu wa polisi walioshtumiwa kwa mauaji hayo.

Polisi waliomba kuwashikilia washukiwa hao kwa siku ishirini na moja zaidi ili kukamilisha uchunguzi kuhusu kisa hicho.

Maafisa watatu wa polisi waliohusishwa na kesi hiyo walikamatwa kwa mauaji ya mpelelezi wa Dagoretti anayehusishwa na Kurugenzi ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) baada ya kuripotiwa kuingilia kati ugomvi wa tukio la trafiki lililohusisha DJ Mfalme na afisa huyo aliyefariki Machi 16.

Hizi hapa ni baadhi ya picha jinsi washukiwa hao walipandishwa kizimbani;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved