logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kwani amesota aje! Hisia mseto baada ya Anerlisa kufichua gharama ya akaunti yake ya IG

Tangazo hilo limezua hisia mbalimbali kwa mashabiki na watumiaji wa mtandao.

image
na Radio Jambo

Burudani30 May 2024 - 12:04

Muhtasari


  • Katika tangazo lake, pia alifichua kwamba angeuza akaunti yake ya Instagram kwa dola 500,000 (kama Kshs65,500,000). Akaunti hiyo ina wafuasi milioni 1.

Mfanyabiashara na mshawishi wa mitandao ya kijamii Anerlisa Muigai amefichua gharama ya akaunti yake ya IG, kwa chapa na wateja wanaotaka kutangaza kwenye akaunti yake ya Instagram.

Katika tangazo lake, pia alifichua kwamba angeuza akaunti yake ya Instagram kwa dola 500,000 (kama Kshs65,500,000). Akaunti hiyo ina wafuasi milioni 1.

"Chapisha ukurasa mkuu 6000USD kwa wiki 3. Chapisha hadithi 24hrs 600USD. Chapisha hadithi 12 hrs 300USD. Taja kwenye ukurasa wangu chini ya picha yangu 1000USD kwa Kutaja. Balozi wa chapa. 100,000 USD kwa miezi 3. Inaonekana 15,000 USD kwa saa 3. Nunua ukurasa wangu wa mtandao wa kijamii kwa dola za Kimarekani 500,000,” alisema kwenye hadithi zake za Insta.

Tangazo hilo limezua hisia mbalimbali kwa mashabiki na watumiaji wa mtandao.

Mmoja alishauri kwamba ikiwa hana pesa, aende kwa Eric Omondi ili kumchangisha pesa.

 

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved