Aliakiwaeleza binti zake kwamba ulikuwa wakati wa wao kuchangia bili za nyumbani kwa kulipa kodi ya nyumba kwa sababu angewaletea baba mpya – mpenzi wake ambaye ni umri sawia na binti zake.
Wakiwa wameshtushwa na uamuzi wa mama yao, mabinti hao
walipinga, wakitaka maelezo.
Walidokeza kuwa mwanamume huyo, ambaye hawakumfahamu,
hakuwa na kazi na tayari alikuwa akiweka sheria ndani ya nyumba hiyo, licha ya
wao kutokuwa watoto wake.