logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Siwezi subiri kuwaona malaika wangu,'Diamond asema baada ya kuwasili Afrika Kusini

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliwajulisha mashabiki wake kuwa amewasili Afrika Kusini

image
na Radio Jambo

Habari21 July 2021 - 10:54

Muhtasari


  • Diamond awasili Afrika Kusini kuwaona wanawe
  • Miezi chache iliyopita msanii huyo alienda kuwatembelea wanawe a kuwa na wakati mwema na wao
  • Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliwajulisha mashabiki wake kuwa amewasili Afrika Kusini vyema na kuwa hawezi ngoja kuwaona wanawe ambao aliwatambulisha kama malaika wake

Staa wa bongo Diamond Platnumz kwa mara nyingi ameenda Afrika Kusini kuwaona wanawe Princess Tiffah na Prince Nillan.

Miezi chache iliyopita msanii huyo alienda kuwatembelea wanawe a kuwa na wakati mwema na wao.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliwajulisha mashabiki wake kuwa amewasili Afrika Kusini vyema na kuwa hawezi ngoja kuwaona wanawe ambao aliwatambulisha kama malaika wake.

"Nimewasili Afrika Kusini vyema siwezi subiri kuwaona malaika wangu 🚀 @princess_tiffah @princenillan ❤️," Aliandika Diamond.

Wiki iliyopita mwanawe Diamond Princess Tiffah alilia ili apelekwe nchini Tnaznia ambapo, Mama Dangote alimsihi Zari ampelekee mjukuu wake.

Je kuna uwezekano mkubwa kwamba Diamond na Zari Hassan wanaweza rudiana na kuwa wazazi bora kwa watoto wao?

Kama tunavyojua ni kwamba Zari hana mpenzi na pia Diamond hana mpenzi wa roho yake, maoni yako ni yapi kama wawili hao wanaweza rudiana?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved