logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Usiache 'slay queens' tu wapate joto ya baby daddy,'Ushauri wake Akothee kwa akina mama

Aliandika haya baada ya kupakia video ya manawe akicheza na baba yake;

image
na Radio Jambo

Yanayojiri21 August 2021 - 08:57

Muhtasari


  • Msanii Akothee kwa mara nyingine amewapa ushauri akina mama ambao wametengana na waume zaio ilhali wana watoto pamoja

Msanii Akothee kwa mara nyingine amewapa ushauri akina mama ambao wametengana na waume zaio ilhali wana watoto pamoja.

Kulingana na msanii huyo, akina mama wanapaswa kuwaruhusu watoto wao wawaone baba zao, na wala sio kuachia Slayqueens kitambi cha baba wa watoto wao wacheze nacho.

Aliandika haya baada ya kupakia video ya manawe akicheza na baba yake;

"Nitamwamia Oyoo nini leo akiniuliza kwa nini hawezi muona baba yake ilhali yuko hai,akina mama kuna pengo ambalo huwezi jaza maishani mwa mtoto wako

Usiachie slayqueens tuu wapaye joto ya baby daddy ,wacha watoto wa enjoy baba Yao kama angalia hai πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ’ƒπŸ§–πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ

Mimi so mtoto wako ,huwezi no piga ,oba vile oyoo ana pasa kitambi ya babake 🀣🀣," Akothee alinakili.

Haya yanajiri huku Akothee akifichua kwamba wanawe wanasafari hii leo, huku akisema kwamba anaskia uchungu sana.

"Huwa tunapunguza maumivu kwa njia tofauti,watoto wangu wanasafiri leo na siwezi eleza uchungu na maumivu ambayo naskia

Nitawaambia siku moja kwa nini ni hivyo."

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved