- Wanamitandao wamshambulia Shakilla baada ya kuwauliza haya
Mwanasosholaiti chipukizi Shakilla, alipojulikana alijulikana kwa mambo yote mabaya mitandaoni.
Shakilla alivuma mitandaoni kwa muda, huku wanamitandao na mshabiki wakisema kwamba anatafuta tu kiki za kujilikana mitandaoni.
Wengi wamekuwa wakikejeli mwanasosholaiti huyo,kwa ajili ya vitendo vyake na jinsi anavyo valia mavazi yake.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amewauliza mashabiki wake kama yeye ni maarufu.
Baadhi ya mashabiki wake walimshambulia na kumwambia kwamba yeye sio maarufu, kwa sababu alivuma kwa mambo yote mabaya.
Hizi hapa hisia za mashabiki;
___.trenchkid: Mtaro ya kanairo
its_mungizzo.: ....Sasa ukijua itakusaidia aje?๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
aggiehnyakerario: No. You are popular.. And there is a difference between being famous and being popular. Thank you
ryanclassics_21: Uliisha content auko ๐๐๐๐
_kendrick_254: Ukona tabia mbaya tu๐๐
whoisekani: Yes but guess people also get tired of clout๐ข
live_football.fx: ๐๐จ๐ฎ'๐ซ๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐๐..๐ง๐จ๐ญ ๐ ๐๐๐๐๐
_soc.rates._: Ni mtaro tu inajulikana๐
officialgee_ke: How do i break this down...okey, you aint famous you are kinda known by a quite good number of people.