logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Wacheni afurahie matunda ya bidii yake,'Willy Paul ampongeza Juliani

Tunapozungumzia wanamuziki maarufu hatuwezi kukosa kumtaja Julius Owino

image
na Radio Jambo

Habari04 September 2021 - 10:02

Muhtasari


  • Ndoa ni ahadi ya maisha kati ya mume na mke na daima imewekwa na Mungu na pia ni mwanzo wa familia
  • Tunapozungumzia wanamuziki maarufu hatuwezi kukosa kumtaja Julius Owino maarufu kwa jina la Juliani

Ndoa ni ahadi ya maisha kati ya mume na mke na daima imewekwa na Mungu na pia ni mwanzo wa familia.

Tunapozungumzia wanamuziki maarufu hatuwezi kukosa kumtaja Julius Owino maarufu kwa jina la Juliani.

Walakini, Juliani alikuwa gumzo baada ya uhusiano na Gavana wa Mke wa zamani wa Machakos Alfred Mutua Lilian Nga'ng'a.

Mwimbaji Willy Paul alimshauri Juliani kupitia kwa video aliyopakia kwenye ukurasa wake wa instagram na akaendelea kusema kuwa watu wanapaswa kuacha Juliani afurahie matunda ya bidii yake.

Bali na hayo pia alimsifia Lilian kwa urembo wake.

"Watu mnapaswa kuachana na JUliani afurahie matunda ya idii yake,Juliani shikilia hapo buda,mtoto ni mzuri shikilia,"Willy Paul alisema.

Wawili hao siku ya Ijumaa walithibitisha, kupitia kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii kwamba ni wapenzi.

Unafikiria nini? Je! Juliani aliiba mke wa mtu au Lilian alimkubali? Tunapaswa kufanya nini kulinda ndoa zetu zisianguke?


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved