logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Chochote kinawezekana,'Zari Hassan amjibu shabiki aliyemuuliza kama ana ujauzito

Wawili hao wamebarikiwa na watoto wawili Princess Tiffah na Prince Nillan.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri05 September 2021 - 12:05

Muhtasari


  • Zari Hassan amjibu shabiki aliyemuuliza kama ana ujauzito

Mjasirimali na mwanasosholaiti ari Hassan alifahamika sana baada ya kuwa kwenye uhusiano na staa wa bongo Diamond Platnumz.

Zari amekuwa kwenye ihwa vya habari kwa muda, baada ya kuachana na Diamond na hata kusaidiana na msanii huyo kuwalea watoto wao.

Wawili hao wamebarikiwa na watoto wawili Princess Tiffah na Prince Nillan.

Miezi chache iiyopita Zari alichumbiana na mpenzi ake ambaye baada ya muda waliachana.

KUpitia kwenye ukurasa wake wa instagrama alipakia pocha yake na kuandika ujumbe uliowaacha mashabiki wake na maswali mengi kuliko majibu.

" Nilikuombea, nilikudhania, kisha ukatokea," Aliandika Zari.

Mmoja wa mashabiki wake alimuuliza kama ana ujauzito la sivyo kama amaepata mchumba mwingine.

"Je tumepata penzi mpya au tuko na ujauzito, kuna hsia nyingi katika ujumbe wako," Shanbiki aliuliza.

Zari naye almjibu kuwa;

"Chochote kinaweza tokea."

Je unafikiri Zari alikuwa anazungumzi anini?

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved