logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mke mwenza wangu aliaga dunia baada ya kutoroka na pesa za kulipa mahari yangu-Mwanamke asimulia

Kulingana naye mumewe alioa mke wa pili na kumpenda sana kuliko alibyo kuwa anampenda.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri07 September 2021 - 10:13

Muhtasari


  • Mwanamke asimulia jinsi mke mwenza wake alitoroka na pesa ya mahari yake
black-woman-crying-

Hamna kitu kinachomfurahisha mwanamke kama mumewe kupeleka mahari kwao, na kuwafanya wazazi wake wawe na furaha.

Sio wanawake wote ambao wamebahatika kulipiwwa mahari na waume wao huku baadhi yao wakiachana na ndoa yao.

Nikiwa katika ziara zangu, nilipata na mwanamke anayefahamika kama Christine ambaye alinisimulia jinsialipata mateso kwenye ndoa yakee.

Kulingana naye mumewe alioa mke wa pili na kumpenda sana kuliko alibyo kuwa anampenda.

"Baada ya kuwa kwa ndoa kwa miak 8 mume wangu alimuoa mkee wa pili, ambaye alikuwa mke mwenza

Wakati huo tulikuwa tumeuza ng'ombe ili alipelekee mahari, lakini baada ya kuuza ng'ombe walitoroka wakiwa wawili, na kuniacha baada ya mwaka mmoja mume wangu alirudi, lakini ke mwenza wangu hakuwa kwani aliaga dunia alipokuwa anajifungua

Mume wangu aliniongeza majukumu kwani alimleta mtoto wa mke mwenza, baada ya kumzika wakwe zangu walisema kwamba niliroga na kumtupia majini kke mwenza wangu ilhali sikuwa najua walipokuwa wanaishi baada ya kutoroka na pesa za mahari yangu," Alisimulia Christine.

Baada yamadai hayi Christine hakuvumilia mateso tena kwani aliondoa katika ndo hiyo, na uanza maisha upya.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved