logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Niombeeni badala ya kutaka nizae mtoto wangu mapema-Vera Sidika

Kwa sababu DMS nyingi zinasema kuwa nilikuwa na mtoto wangu kwa wiki 25

image
na Radio Jambo

Habari24 September 2021 - 09:44

Muhtasari


  • Kulingana na Vera hakuna haja ya kuaharikisha kujifungua na hana shida yeyote, huku akiongeza kwamba watu wengi wamejifungua mapema lakini haikuwa matakwa yao

Mwanasoshalaiti na mama mtarajiwa Vera Sidika,amewakasirikia baadhi ya mashabiki wake mitandaoni ambao wamekuwa wakimtumia jumbe kuwa anapaswa kujifungua mtoto wake kabla ya muda kufika.

Kulingana na Vera hakuna haja ya kuaharikisha kujifungua na hana shida yeyote, huku akiongeza kwamba watu wengi wamejifungua mapema lakini haikuwa matakwa yao.

"Hakuna mtu aliyesema huwezi kuwa na mtoto kabla ya muda. Inatokea dhidi ya mapenzi yao, hakuna mtu angeweza kutembea katika hospitali na kusema  wanataka kuwa na mtoto wao kwa wiki 30 au kabla ya muda

Kwa sababu DMS nyingi zinasema kuwa nilikuwa na mtoto wangu kwa wiki 25 kwa wiki 33 nk na walikuja vizuri

Kisha ninawauliza na kusema haikuwa kwa uchaguzi. Kwa nini ninyi nyote mnataka nijifungue maema kabla wakati na muda wangu haujafika,ilhali sina shida yeyote mnapaswa kuomba kwa ajili ya afya na kujifungua vyema."

Vera aliwatakia akina mama wote ambao wnasubiria kujifungua, wajifungue vyema.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved