logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vanessa Mdee na Rotimi wabarikiwa na mtoto mvulana

Jina la mtoto wao wa kiume ni, "Seven  Adeoluwa Akinosho".

image
na Radio Jambo

Burudani29 September 2021 - 19:46

Muhtasari


  • Vanessa Mdee na Rotimi wabarikiwa na mtoto mvulana

Mwimbaji wa Nigeria Rotimi na mpenzi Vanessa Mdee wamemkaribisha mtoto wao  na kifunua mimba wao ulimwenguni.

Vanessa aliua sana baada yya kumuacha baada mpenzi wa Kitanzania Juma Jux, sasa ni mama, asante kwa muimbaji wa Amerika, Rotimi.

Jina la mtoto wao wa kiume ni, "Seven  Adeoluwa Akinosho". Habari hiyo ilikutana na shangwe na ujumbe wa pongezi kutoka kwa jeshi la mashabiki na wafuasi wao.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;

akotheekenya: Auuuu mommy congratulations my love

talliaoyando: Congratulations Dada 😍

theavieway: 🙌🏽🙌🏽🙌🏽🙌🏽 you'll love the journey. Congratulations love

wemasepetu: Im sooo jealous.... 😢😢😢 Congrats my baby...😍😍😍

mangekimambi_: Inabidi sasa niwe naamini sources wangu hata kuliko wahusika wenyewe. 😂. Hongereni sana wazazi.

jovial_ke: Aaaawww Congratulations ❤️❤️❤️

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved