logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hii Nairobi mwanamume atakuoa na kisha amchumbie mwanamke wa aina yake-Amber Ray

Uhusiano wao haukudumu, kwani wawili hao waliahana huku Jimal akimrudia mkewe Amira.

image
na Radio Jambo

Burudani05 October 2021 - 15:01

Muhtasari


  • Amber alivuma sana mapema mwaka huu baada ya kuolewa kama mke wa pili na mfanyibiashara Jimal Roho Safi

Kama umekuwa  kwenye mitandao ya kijamii hukosi kuwa unamfahamu mwanasosholaiti Aber Ray.

Amber alivuma sana mapema mwaka huu baada ya kuolewa kama mke wa pili na mfanyibiashara Jimal Roho Safi.

Uhusiano wao haukudumu, kwani wawili hao waliahana huku Jimal akimrudia mkewe Amira.

Kupitia kwenye ukurasa wake Amber wa instagram amezungumzia na kuandika jinsi wanaume wa karne ya sasa wanaoa wanawake kisha wanawachumbia wanawake wa aina yao.

"Hii Nairobi mwanamume atakuoa na kisha amchumbie mwanamke wa aina yake," Aliandika Amber.

Ujumbe wake unajiri saa chache baada ya Jimal kumzawadi mkewe Simu ya shilingi 180.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki kuhusu ujumbe wake Amber Ray;

just__cheche: Wanauliza jeep ilienda wapi???

polynewhite: The energy to iron clothes for a man to go take his love out Sina. Lemmi remain number 2πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

_phoiey_: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ They marry peace then cheat peace with beauty

cici_aidah09: πŸ˜‚πŸ˜‚mi naona they'll date you n marry their type....of which ukiangalia their type unajiuliza...'kwani i had stoop this lowπŸ€”πŸ€”?...pun intendedπŸ˜›πŸ˜›

velmamonique: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mbona unashout Sana hivo wamusyi

ndungu9817: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wewe mbona unashout hivo

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved