logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mume wa mtu naye kufanywa sponsor ni Kawaida-Msanii Lulu Diva asema

Akiwa kwenye mahojiano Lulu alisema kwamba karne hii ya sasa ni kawaida mume wa mtu kufanywa sponsor.

image
na Radio Jambo

Habari14 October 2021 - 12:32

Muhtasari


  • Akiwa kwenye mahojiano Lulu alisema kwamba karne hii ya sasa ni kawaida mume wa mtu kufanywa sponsor
Lulu Diva 'Kama Msanii nimepambana sana kufikia nilipo'

Msanii Lulu Diva, alivuma sana baada ya madai kwamba ndiye alikuwa sababu kuu ya Diamond na Tanasha kuachana, lakini alijitokeza na kukana madai hayo, na kuweka wazi kwamba sio mpenzi wake Diamond.

Si hayo tu pia alivuma baada ya madai kwamba mbunge na msanii Jaguar anamwinda, pia aliakana uvumi huo na kusema kwamba ni marafiki.

Akiwa kwenye mahojiano Lulu alisema kwamba karne hii ya sasa ni kawaida mume wa mtu kufanywa sponsor.

"Kwani We Ujawahi Kusikia Mtu Kachukulia Bwana ?...Mume wa mtu naye kufanywa sponsor ni Kawaida

Hili limekuwa la kawaida katika maisha yetu ya  kila siku, ni mara yako ya kwanza kuskia kuwa mwanamke amenyanganywa mume, au mwanamke amechukua mume wa mtu?" Alisema Lulu.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved