logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watu wengi hawatakuunga mkono mpaka waone ni Maarufu kukuunga mkono -Diana Marua asema

Hisia zake ni za kweli kwa sababu hakuna mtu aliye tayari kukuunga mkono wakati wowote

image
na Radio Jambo

Yanayojiri06 December 2021 - 13:05

Muhtasari


  • Bahati na mkewe wameingia  kwenye orodha ya wasanii wa Kenya ambao ni wanandoa na wamejitosa kwenye tasnia ya muziki

Bahati na mkewe wameingia  kwenye orodha ya wasanii wa Kenya ambao ni wanandoa na wamejitosa kwenye tasnia ya muziki.

Diana bahati hivi majuzi alijiunga na tasnia ya muziki kama rapa na hadi sasa ametoa nyimbo mbili zinazovuma mitandaoni,na pia alitumbuiza baadhi ya maonyesho ya moja kwa moja.

Diana Bahati kupitia mtandao wake wa kijamii amemwambia mume wake kujenga himaya pamoja alisema haya baada ya kutoa nukuu muhimu.Anasema kuwa;

"Watu Wengi Hawatakuunga Mkono mpaka waone ni Maarufu kukuunga mkono 😉 Hebu Tujengehimaya mpenzi@BahatiKenya ❤️," Aliandika Diana.

Hisia zake ni za kweli kwa sababu hakuna mtu aliye tayari kukuunga mkono wakati wowote lakini atakuunga mkono kama njia ya kujitangaza.

Kwa bahati ni kinyume kwa sababu yeye amekuwa akimpa umaarufu mke wake hata kabla ya Diana kuanza kujitosa kwenye muziki na kujua yeye ni mwanamuziki anayependwa zaidi.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved