logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hapana sijazaa na Diamond,'Msanii Malkia kutoka Tanzania aweka mambo wazi

Hii ni baada ya kusema kuwa hana mtoto na Diamond Platnumz jinsi watu wanavyosema.

image
na Radio Jambo

Habari17 December 2021 - 13:09

Muhtasari


  • Hii ni baada ya kusema kuwa hana mtoto na Diamond Platnumz jinsi watu wanavyosema
  • Usemi wake Karen umeibua hisia tofauti mitandaoni, huku akifichua kwamba ataolewa akiwa na miaka 40

Malkia Karen ambaye ni mwimbaji maarufu wa Tanzania ameibua hisia kwenye mitandao tofauti ya kijamii.

Hii ni baada ya kusema kuwa hana mtoto na Diamond Platnumz jinsi watu wanavyosema.

Kulingana na majibu ambayo mwimbaji huyo alimtolea shabiki, Karen alikuwa akisema kuwa hana mtoto na Diamond na watu waache kuwahukumu vibaya.

Usemi wake Karen umeibua hisia tofauti mitandaoni, huku akifichua kwamba ataolewa akiwa na miaka 40.

"Ni kweli umezaa na Diamond," Shabiki aimuuliza Malkia.

"Hapana," Alijibu.

Pia shabiki mwingine alimuuliza kwa nini aliamua kuzaa kabla ya kuolewa ambapo Malkia alijibu na kuwmambia.

"Nimepanga kuolewa tena sana kuanzia miaka 40 kuendelea, na kiasayansi haufai kuzaa miaka hiyo kama huna matatizo yeyote," Malkia alijibu.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved