logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Alikuwa anataka tufanye ngono usiku na mchana kila siku-Mwanamke asimulia sababu kuu ya kugura ndoa

wanamitandao walisimuia na kueleza sababu kuu za kugura ndoa zao za awali.

image
na Radio Jambo

Habari03 January 2022 - 13:01

Muhtasari


  • Ndoa inachangamoto zake kila kuchao na kila siku, huku baadhi ya wanandoa wakiamua kugura na kuendelea na maisha yao bila  wenzi wao
sad woman

Ndoa inachangamoto zake kila kuchao na kila siku, huku baadhi ya wanandoa wakiamua kugura na kuendelea na maisha yao bila  wenzi wao.

Kwa kweli hamna kitu ambacho hakina changamoto duniani, na kama vile walivyosema akina babu zetu ni kuwa ndoa ni kuvumilia.

Kupitia kwenye mitandao ya kijamii, wanamitandao walisimuia na kueleza sababu kuu za kugura ndoa zao za awali.

Mwanamke mmoja aliibua hisia mseto baada yake kusema kwamba aligura ndoa ya miaka 4 kwa kuwa mumewe alitaka wafanye tendo la ndoa kila siku.

"Kusema kweli singevumilia ndoa ya miaka nne mume wangu alikuwa anataka tufanye tendo la ndoa kila siku, usiku na mchana

Hakuwa anapenda kunisikiza wala kuskiamaoni yangu, niliamua kutoroka baada yake kuenda kazi kwani singevumilia tena, nilisema wacha hio ndoa ikae na sitamani kumrudia," Alieleza mwanamke huyo.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved