logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Edday Samidoh apendekeza Julie Mbogo kuwa seneta wa Nairobi

Edday alitangaza anapendedkeza  rafiki  yake wa miaka mingi Julie Mbogo kuwania kiti cha useneta  wa Nairobi  kuliko  Mama wa mtoto wa Samidoh, Karen Nyamu.

image
na

Burudani13 January 2022 - 05:14

Muhtasari


• Edday alitangaza anapendekeza  rafiki  yake wa miaka mingi Julie Mbogo kuwania kiti cha useneta  wa Nairobi  kuliko  Mama wa mtoto wa Samidoh, Karen Nyamu.

Samidoh na mkewe Edday

Mke  wa staa wa Mugithi almaarufu Samidoh, Edday Nderitu ametangaza hadharani anayependelea kuwa seneta wa Nairobi.

Kupitia ukurusa wake wa Instagram, Edday alitangaza anapendekeza  rafiki  yake wa miaka mingi Julie Mbogo kuwania kiti cha useneta  wa Nairobi  kuliko  Mama wa mtoto wa Samidoh, Karen Nyamu.

Edday Samidoh alichapisha picha ya  Julie huku akisema "seneta wangu wa Nairobi"

 

Mashabiki wake wa mtandao hawakufumbia macho ujumbe wake  ambapo walitoa maoni yao  huku wakipongeza kwa kusimama na rafiki yake. Baadhi ya maoni yao yalikuwa kama ifuatavyo; 

@susankarimi7 Una haki ya kumuunga  utakaye. kama kuna mtu hajafurahishwa na hilo aende akaposti  mwenye anamuunga kwa ukurasa wake alaa..

@musyoka_musau_ Huyu hawezani na force ya Nyamu wacha aibu ndogo...

@wambomacharia-Jamani! Nampenda Edith ndo huyu seneta wetu kanairo. Huko ukienda nakufuata ooh

Mke wa samidoh aidhinisha BFF kwa kiti sawa na Karen Nyamu.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved