logo

NOW ON AIR

Listen in Live

[Video] Pesa kidogo mnapiga gym Kilimani, jamaa awasuta wasanii walioathiriwa na msongo wa mawazo

Jamaa mmoja amewasuta mastaa wanaolia mara kwa mara kwamba wana matatizo ya kihela.

image
na

Yanayojiri19 April 2022 - 09:16

Muhtasari


• Jamaa huyo alisema wasanii wengi wananingia kwenye depressio kwa kuishi maisha ghali kuliko uwezo wao.

• Amewataka kuwekeza katika miradi ambayo itaboresha maisha yao wala sio kuponda raha mjini.

Shabiki mmoja amewatupia cheche kali wasanii ambao mara kwa mara wanasema kwamba wameingia katika depression.

Kulingana na mwanaume huyo, wasanii wengi hutumia pesa zao katika starehe badala ya kuwekeza katika miradi itakayowafaidi.

" Hakuna kitu kama depression, ukipata pesa kidogo ushaanza kupiga gym Kilimani ati umefika," alisema.

Alishikilia kwamba mastaa wengi sasa wamefanya mazoea ya kuomba mchango kila mara wanapokuwa na changamoto, akisema kwamba ni mwiba ambao wanajidunga wenyewe.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved