Muhtasari
• Bahati anadai kulazimishwa kujiondoa kutoka kinyang'anyiro cha ubunge wa Mathare.
• Mgombea ubunge wa Mathare kwa chama cha Jubilee Kevin Bahati amedai kuambiwa kuondoa azma yake na kurejesha cheti cha uteuzi.
• Bahati anadai kulazimishwa kujiondoa kutoka kinyang'anyiro cha ubunge wa Mathare.
• Mgombea ubunge wa Mathare kwa chama cha Jubilee Kevin Bahati amedai kuambiwa kuondoa azma yake na kurejesha cheti cha uteuzi.