logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Aslay awashangaza mashabiki baada ya kusema azikwe pamoja na mwanawe ambaye bado yuko hai

"Tukifa Tuzikwe Wote Ndio Mimi na @mozza__aslay," Aliandika Aslay.

image
na Radio Jambo

Habari23 May 2022 - 11:48

Muhtasari


  • Aslay awashangaza mashabiki baada ya kusema azikwe pamoja na mwanawe ambaye bado yuko hai

Msanii kutoka Tanzania Aslay amewaacha wanamitandao midomo wazi baada ya kusema kwamba anataka kuzikwana bintiye siku akifa.

Msanii huyo alipakia picha yake na bintiye ambaye bado yuko hai  na kuandika ujumbe ufuatao;

"Tukifa Tuzikwe Wote Ndio Mimi na @mozza__aslay," Aliandika Aslay.

Ni ujumbe ambao uliibua hisia tofauti na hii hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

mashwishwitv: Chezea mtoto wa kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

officialmakata: Unacheza na kizikwa wote nini wewe hujaonaga mtu anamkimbia mzazi wake aliekufa? 😁😁😁

miangaiko_mipango: Sawa tuta fanya ivyo wanangu maagizo hayo

ngongosi: Atazikwa pembeni yako au wewe pembeni yake sio wote cheee

officialdinnah_: 😁😁😁aje sasa but inshaAllah πŸ™Œ

ericajames891: Mfuniko na pipaaa❀️siyo lwakufanana uko na mwanao brooo


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved