logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Waganga wenu hawaniwezi,'Willy Paul awaambia wasanii wenzake

Willy Paul alisema kuwa wanamuziki wanatembelea waganga

image
na Radio Jambo

Yanayojiri11 June 2022 - 07:54

Muhtasari


  • Willy Paul alisema kuwa wanamuziki wanatembelea waganga kwa jina au kujaribu kumfanya ashindwe kimuziki na hata kumchafua
Willy paul

Mmoja wa msanii maarufu na mwenye utata nchini Willy Paul amezua gumzo tena mitandaoni.

Willy Paul ambaye amekuwa akivuma mitandaoni wiki hii baada ya kujivunia maelfu ya pesa mtandaoni na kujigamba jinsi alivyo tajiri, sasa anadai wasanii wa Kenya wanatumia nguvu za giza  kumpiga vita.

Akiongea kupitia kwa video inayomuonyesha akitengeneza gari kando ya barabara moja kuu jijini Nairobi, Willy Paul alisema kuwa wanamuziki wanatembelea waganga kwa jina au kujaribu kumfanya ashindwe kimuziki na hata kumchafua.

"Wasanii achaneni na Mimi waganga wenyu hawaniwezi, niko mpweke leo na sio kwa sababu ya mwanamke, mwanamke hawezi nianya niwe mpweke,kwani gari itashinda kupata puncture 

Hamuwezi niua na sitawahi kufa," Willy Paul Alizungumza kwenye video.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved