logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Siwezi sema sisi ni maadui-Amberay azungumzia uhusiano wake na ex wake Jimal

Hapa ndipo mashabiki kadhaa walichukua fursa hiyo kumuuliza maswali kuhusu maisha yake

image
na Radio Jambo

Burudani14 June 2022 - 11:21

Muhtasari


  • Amberay azungumzia uhusiano wake na ex wake Jimal

Mwanasosholaiti Amber Ray amefunguka kuhusu uhusiano wake na aliyekuwa mpenzi wake, Jimal Marlow.

Akizungumza kupitia ukurasa wake wa Instagram, mama huyo wa mtoto mmoja alizungumza kuhusu kuwa na urafiki na Mwenyekiti wa Matatu Sacco, Jimal Marlow.

Wakati wa kipindi cha maswali na majibu, mwanasosholaiti huyo alithibitisha urafiki wake na Phoina Beauty.

Hapa ndipo mashabiki kadhaa walichukua fursa hiyo kumuuliza maswali kuhusu maisha yake ya kibinafsi.

Mmoja wa wafuasi alimuuliza Amber kama yeye ni rafiki na Jimal Marlow. Amber hakusita kumjibu shabiki wake. Kwenye chapisho alijibu:

"Sawa, singesema sisi ni maadui,"Alijibu Amber.

Ikumbukwe kuwa Amber na Jimal walivuma mitandaoni, na hata mwanasosholaiti huyo kuwa mke wa pili wa mwanabiashara huyo.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved