logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Lala salama,'Mwigizaji Njoro aomboleza kifo cha nyanya yake

"Inahuzunisha kuwa umeenda, miaka 103 is nyongeza ya kutosha,

image
na Radio Jambo

Makala10 November 2022 - 09:38

Muhtasari


  • Njoro alifahamika sana baada ya kuingiza katika kipindi cha Papa Shirandula kilichokuwa kinapeperushwa kwenye runinga ya Citizen

Aliyekuwa mwigizaji wa kipindi cha Papa Shirandula, Kenneth Gochoya almaarufu Njoroge amempoteza nyanya yake.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram mwigizaji huyo aliwatangazia mashabiki wake habari hizo za kuhuzunisha.

"Inahuzunisha kuwa umeenda, miaka 103 is nyongeza ya kutosha, mke wangu,shosho wangu ameenda uwa na muumbaji wake,lala salama hadi tutakapokutana,"Njoro Aliandika.

Mashabiki walituma jumbe za rambirambi na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

shaniqwa_karishizzo: Bro my sincere condolences to you and your family she lived a good life ☺️☺️ we celebrate her life

bura_rated: My sincere condolences🙏🏾.May her soul rest in peace🕊

wairimu_anney: May her soul rest in peace🙏🙏. May the Lord comfort you all

kuha_miss: 😢😢May shush soul rest in peace

johngitema1: It's well broo polenii man

Njoro alifahamika sana baada ya kuingiza katika kipindi cha Papa Shirandula kilichokuwa kinapeperushwa kwenye runinga ya Citizen.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved