logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Soma ujumbe mtamu wa Bobi Wine kutoka kwa mkewe

Yeye ni Mbunge wa zamani wa eneo bunge la Kaunti ya Kyadondo Mashariki katika Wilaya ya Wakiso

image
na Radio Jambo

Yanayojiri11 November 2022 - 12:30

Muhtasari


  • Wawili hao ambao wanachukuliwa kuwa miongoni mwa wanandoa wenye nguvu zaidi nchini Uganda wameoana kwa takriban miaka 11 sasa na wana watoto wanne
Kionozi wa Uganda Bobi Wine kuandaa tamasha la kuchangisha pesa kuwaokoa waganda waliokwama Uarabuni

Robert Kyagulanyi anayejulikana kwa jina lake la kisanii Bobi Wine, ni mwanasiasa, mwimbaji na mwigizaji wa Uganda.

Yeye ni Mbunge wa zamani wa eneo bunge la Kaunti ya Kyadondo Mashariki katika Wilaya ya Wakiso, katika Mkoa wa Kati nchini Uganda.

Wawili hao ambao wanachukuliwa kuwa miongoni mwa wanandoa wenye nguvu zaidi nchini Uganda wameoana kwa takriban miaka 11 sasa na wana watoto wanne.

Mnamo tarehe 11 Novemba, mke wa Bobi Wine Barbie kupitia kwenye ukurasa wake wa facebook alipakia picha ya mumewe ikiwa na nukuu ya ujumbe mtamu ambao ulilingana na chapisho lake akisema

"Tazama huyu Binadamu wa ajabu?Yeye ni zaidi ya inavyoonekana.Usingemaliza uwezo wake.Brah, imekuwa zaidi ya miaka Ishirini ya hekima inayotiririka kwangu!Ninakuheshimu sana Taata.Asante kwa masomo ya maisha ya kila siku.Uganda umebarikiwa kuwa na wewe kuwatumikia watu wake katika hatua hii ya maisha yako,"Aliandika mkewe Bobi Wine.

Wine anafahamika sana kuwa mpinzani mkuu wa serikali ya uganda.

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved