logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kibao cha wiki:Tazama kibao kipya cha msanii Mbosso na Spice Diana

Huku akimuuliza kama atakubali amuoe, na bila shaka mwanamke huyo anakubali,

image
na Radio Jambo

Burudani03 May 2021 - 11:20

Muhtasari


  • Tazama kibao kipya cha msanii Mbosso na Spice Diana
  • Siku mbili zilizopita msanii huyo alitoka kibao akimshirikisha msanii wa Uganda Spice Diana, kibao ambacho kinafahamika kama 'Yes'
mbosso-1024x1024

Msanii wa bongo Mbosso ni msanii kutoka Tanzania ambaye amekuwa akitia bidii kila siku katika kazi yake ya usanii.

Siku mbili zilizopita msanii huyo alitoka kibao akimshirikisha msanii wa Uganda Spice Diana, kibao ambacho kinafahamika kama 'Yes'.

Ni kibao ambacho kimepokelewa vyema na mashabiki kinazungumzia mwanamume ambaye alikuwa anatafuta mpenzi na hatimaye amempata mpenzi wa roho yake.

 

Huku akimuuliza kama atakubali amuoe, na bila shaka mwanamke huyo anakubali, na hata kumpeleka kwa wazazi wake.

Furahia kibao hicho cha wiki, na utoe maoni yako kama kina weza au bado.

Hii hapa video ya kibao hicho;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved