Kibao cha wiki:Tazama kibao kipya cha msanii Mbosso na Spice Diana

Muhtasari
  • Tazama kibao kipya cha msanii Mbosso na Spice Diana
  • Siku mbili zilizopita msanii huyo alitoka kibao akimshirikisha msanii wa Uganda Spice Diana, kibao ambacho kinafahamika kama 'Yes'
mbosso-1024x1024
mbosso-1024x1024

Msanii wa bongo Mbosso ni msanii kutoka Tanzania ambaye amekuwa akitia bidii kila siku katika kazi yake ya usanii.

Siku mbili zilizopita msanii huyo alitoka kibao akimshirikisha msanii wa Uganda Spice Diana, kibao ambacho kinafahamika kama 'Yes'.

Ni kibao ambacho kimepokelewa vyema na mashabiki kinazungumzia mwanamume ambaye alikuwa anatafuta mpenzi na hatimaye amempata mpenzi wa roho yake.

 

Huku akimuuliza kama atakubali amuoe, na bila shaka mwanamke huyo anakubali, na hata kumpeleka kwa wazazi wake.

Furahia kibao hicho cha wiki, na utoe maoni yako kama kina weza au bado.

Hii hapa video ya kibao hicho;

Get The Album Now 👇🏼👇🏼 https://mbosso.lnk.to/dol What Is Love? Every person has his own Definition Of Love The answer differ due to everyone's experience But I brought to you my own Definition Of Love Which is available on my Album Kindly listen to DEFINITION OF LOVE You will either get the meaning through my language or the melody i used! Enjoy! From DEFINITION OF LOVE Album Track 11 - Yes Featuring Spice Diana For Bookings: mbosso@wcbwasafi.com Follow Mbosso On: Instagram:https://www.instagram.com/mbosso_ Twitter:https://twitter.com/mbossokhan/ Facebook:https://www.facebook.com/mbossoofficial/ #definitionoflove #mbosso #Spicediana