Muhtasari
• Mfalme wa kuachia video katika mtandao wa Tiktok, Kinuthia amesema kwamba hali yake ya kimapenzi itasalia kuwa siri mpaka wakati ambapo ataamua kuweka wazi kuhusu mchumba wake.
• Akizungumza na mwanablogu Commentator 254, Kinuthia amesema kwamba anachukizwa kwa jinsi ambavyo wakenya wengi wamekuwa wakibuni mambo ya uongo kuhusu mahusiano yake, huku akisema kwamba akiwa tayari kuweka wazi kwa umma atafanya hivo bila wasiwasi wowote.