logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Bintiye Mike Sonko afichua sababu ya kuwa 'single' na kutochowra tattoo mwilini

Thicky aliendelea na kuongeza kuwa haitaji mwanaume maishani mwake

image

Burudani14 April 2022 - 12:00

Muhtasari


  • Akiongea kupitia insta stories , bintiye mwanasiasa huyo pia alifichua kwa nini bado yuko single

Binti mdogo zaidi wa aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko, Sandra amewaeleza wafuasi wake kwa nini hana tattoo kwenye mwili wake.

Akiongea kupitia insta stories , bintiye mwanasiasa huyo pia alifichua kwa nini bado yuko single.

Sandra alifungua jukwaa lake la Instagram kwa maswali na majibu. Katika kipindi hiki, wanamtandao kadhaa walimuuliza maswali ya kibinafsi.

Sandra alielezea umma kwa nini hana tattoo kwenye mwili wake. , Thicky Sandra aliulizwa na shabiki ikiwa ana tattoo yoyote.

Alijibu kwa kusema:

'Hapana. Je, unaweza kuweka kibandiko kwenye Bentley'. Sandra alisema kwamba hawezi kujichora tatoo kwenye mwili wake.

Kwenye chapisho lililofuata, mtu mashuhuri alifichua kwa nini bado yuko single. Mtayarishaji mchanga wa maudhui alidai kuwa anataka kuwa peke yake kwa muda.

Thicky aliendelea na kuongeza kuwa haitaji mwanaume maishani mwake


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved