logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Watoto wako wanaweza kukupeleka kaburini mapema-Ushauri wa Akothee kwa wazazi

Pia alisema kwamba watoto wanaweza kukupeleka kaburini mapema usipokuwwa makini

image
na Radio Jambo

Burudani15 May 2022 - 08:19

Muhtasari


  • Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo amesimulia jinsi wazazi hujitolea kwa ajili ya watoto wao

Tunapozungumzia msanii na mjarimali Esther Akoth almaarufu Akothee sio mgeni katika majukwaa ya mitandao ya kijamii.

Akothee anafahamika kwa semi zake na jinsi ya kuwakosoa wwanawe na wanamitandao ambao wamevuka mipaka.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo amesimulia jinsi wazazi hujitolea kwa ajili ya watoto wao ilhali watoto wao hawawezi.

Pia alisema kwamba watoto wanaweza kukupeleka kaburini mapema usipokuwwa makini kama mzazi.

"Ukweli angalia wazazi watoto wako hawatatoa dhabihu kama ulivyojitolea kwa ajili yao.. uchungu wake ni kwamba wanapokuwa kwenye uchafu, wanarudi kwako wakati wote na wakati wanashida,watoto wako wanaweza kukupeleka kwenye mazingira magumu au mapema kwenye kaburi..ni baraka kuwa mzazi pia inaweza kuwa maumivu moyoni endelea tu,"Akothee Alisema.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved