logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Alaa!Wanamitandao waduwaa baada ya Paula Kajala kumpa mama yake block

Baadaye alianza kununua vitu vya kifahari ili kumtongoza. Hata aliomba msamaha mara nyingi.

image
na Radio Jambo

Burudani27 May 2022 - 11:44

Muhtasari


Wanamitandao waduaa baada ya Paula Kajala kumpa mama yake block

Kajala Masanja Frida

Paula Kajala amezua taharuki katika mitandao ya kijamii baada ya kumpa mama yake block, saaa chache baada ya Frida Kajala kuacha kumpa block staa wa bongo Harmonize.

Paula anahisi uamuzi wa mama yake ulikuwa wa haraka.

Fridah alimsamehe Harmonize na mara akaacha kumfuata Rayvanny. Rayvanny na Harmonize wana ugomvi.

Walitofautiana 2021 baada ya Rayvanny kuvujisha uchi wake.

Rayvanny hata alivujisha chat za faragha za Harmonize na Paula Kajala, na kumwambia aombe msamaha kwa umma kwa kujiaibisha kwa kutuma picha zenye uchi wake kwa Paula.

Harmonize kwa zaidi ya mwezi mmoja amekuwa akijaribu kurudiana na Fridah. Alianza majaribio yake mwezi uliopita, akiweka mbago ukimtiririka.

Baadaye alianza kununua vitu vya kifahari ili kumtongoza. Hata aliomba msamaha mara nyingi.

"Siwezi kulala kwa kuwa nawaza wewe. Nimekuwa na njaa kwa sababu nilipoteza hamu ya kula kwa muda mrefu. Nakupenda na samahani. Tafadhali nirudishe,"

Lakini swali kuu ni ni kiki au

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved