logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vera Sidika amsherehekea mwanawe anapohitimu mwaka 1

Kwa upande mwigine mumewe Vera Sidika Brown Mauzo alimshukuru Mungu kwa kuwa baba ya Asia.

image
na Radio Jambo

Makala20 October 2022 - 09:07

Muhtasari


  • "Mpendwa wangu @princess_asiabrown Ninamshukuru sana Mungu kwamba Alinichagua kuwa Baba yako. Hakuna upendo mkubwa zaidi. Heri ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza, binti πŸŽ‚β€οΈπŸ˜˜πŸ’."

Mjasirimali,mwanasoholaiti maarufu na mwenye utata nchini Vera Sidika amemnakilia mwanawe ujumbe wa kipekee huku akisherehekea siku yake ya kualiwa.

Mwanawe Vera Sidika na Brown Mauzo anahitimu mwaka mmoja hii leo.

Vera alifichua jinsi anavyompenda Asia na vile alibadilisha maisha yake.

Huu hapa ujumbe wake kwa mwanawe;

"@princess_asiabrown tangu siku ulipoingia katika ulimwengu huu, ulitawala moyo wangu wote na hisia hiyo imeongezeka tangu wakati huo. Nina upendo mwingi kwako, mpenzi. Huenda usitambue sasa lakini katika miaka ijayo, utatazama nyuma katika hatua hii ya awali ya maisha yako na kuona jinsi ulivyopendwa! Heri ya siku ya kuzaliwa mapigo ya moyo wangu β€οΈπŸŽŠπŸ’ƒπŸΌπŸ₯°,"Vera Aliandika.

Kwa upande mwigine mumewe Vera Sidika Brown Mauzo alimshukuru Mungu kwa kuwa baba ya Asia.

"Mpendwa wangu @princess_asiabrown Ninamshukuru sana Mungu kwamba Alinichagua kuwa Baba yako. Hakuna upendo mkubwa zaidi. Heri ya kuzaliwa kwa mara ya kwanza, binti πŸŽ‚β€οΈπŸ˜˜πŸ’."

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved