logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ben soul aomboleza kifo cha nyanya yake

"Pumzika kwa amani bibi. Ninakusherehekea leo na milele zaidi. Miaka 103 πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ!gone too soonπŸ˜….

image
na Radio Jambo

Yanayojiri02 December 2022 - 13:52

Muhtasari


  • Asante kwa upendo na baraka zako. Mpaka tukutane tena baada ya 100 au zaidi, nakupenda.❀️,"Aliandika Ben Soul.

Msanii maarufu Ben Soul anaomboleza kifo cha mmoja wa wapedwa wake ambaye ni nyanyake.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instaram msanii huyo alifichua kwamba nyanya yake aliaga akiwa na miaka 103.

"Pumzika kwa amani bibi. Ninakusherehekea leo na milele zaidi. Miaka 103 πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ!gone too soonπŸ˜….

Ben soul aliendelea kumshukuru nyanya yake kwa baraka alizomuachia. 

Asante kwa upendo na baraka zako. Mpaka tukutane tena baada ya 100 au zaidi, nakupenda.❀️,"Aliandika Ben Soul.

Mashabiki wake waliungana naye na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

noni_gathoni: I’m glad I got to meet her and recieve her blessings. Rest in power shosh ❀️

h_arttheband: RIP shosh πŸ™πŸ™πŸ™ Gone to soon fr πŸ˜…

wixx_mangutha: So sorry. May she rest well. πŸ™πŸ½ 103...wow! πŸ™ŒπŸΎ

matataofficial: πŸ•ŠοΈ πŸ•ŠοΈ Rest in paradise Shosh sending love to you bro πŸ™πŸΎπŸ€πŸ€πŸ€

kate.kabi: Sending you hugs and my condolences to you and your family ♥οΈπŸ•ŠοΈ

okellomax: My condolences brother πŸ™πŸΎ May she rest in eternal peace


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved