logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ndoto yangu ilikuwa kuwa wakili-Samidoh afichua

Kulingana na baba huyo wa watoto watano, alitaka kuwa wakili.

image
na Radio Jambo

Habari16 September 2023 - 09:45

Muhtasari


  • Akionyesha sehemu ya matokeo yake ya KCPE, Samidoh alikariri kwamba ndoto yake ya kuwa wakili ingali halali

Msanii wa Mugithi Samidoh ameelezea na kufichua ndoto yake ambayo alikuwa anatazamia kuwa.

Kulingana na baba huyo wa watoto watano, alitaka kuwa wakili.

Kinyume na matarajio yake Samidoh aliendelea kuwa Afisa wa Polisi na mwimbaji

Ni miongoni mwa wasanii maarufu wa Mugithi nchini Kenya.

Akionyesha sehemu ya matokeo yake ya KCPE, Samidoh alikariri kwamba ndoto yake ya kuwa wakili ingali halali

Kulingana na matokeo alikuwa Index 1.

"Hiyo index number one wa kwenu anafanyanga nini siku hiziI aspired to be a lawyer.Saa hii mimi ni One man guitor AKA. Singing police man Dreams not shattered bado nakula mbuku."

 

Meneja wake Moses Marite pia alishiriki matokeo yake akisema alikuwa index 1.

"Wale wanauliza Samidoh alipata ngapi kwa hesabu, alikuwa Index 001 mimi Index 005...All I ever dreamed was to become an engineer , sasa mimi ni memeer(memer)

Kama angekuwa wakili, Samidoh angekuwa katika uwanja huo na mama wa watoto wake Karen Nyamu

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved