logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Diamond Platnumz's asherekea siku ya kuzaliwa na mwanawe

Baba na mwana wanaosherekea siku ya kuzaliwa kwa siku moja

image
na

Makala03 October 2023 - 05:34

Muhtasari


•Tarehe mbili mwezi wa Octoba kila mwaka kwenye kauli aliyotangaza Diamond ni siku muhimu sana maishani mwake ikiwa ni siku ambayo yeye na mwanawe ushirikiana pamoja kwa kuwa ni siku sawa kwao ya  kusherekea siku zao za kuzaliwa

Diamond na mwanaye Naseeb Junior

Msanii maarufu wa Bongo nchini Tanzania  Diamond  kupitia mtandao wake wa instagram amedhihirisha wazi upendo wake kwa mwanaye Naseeb Juniour kwa maneno matamu  akimsifu baada ya picha za pamoja wakisherekea siku yao ya kuzaliwa.

Tarehe mbili mwezi wa Octoba kila mwaka kwenye kauli aliyotangaza Diamond ni siku muhimu sana maishani mwake ikiwa ni siku ambayo yeye na mwanawe husherehekea pamoja siku yao ya kuzaliwa .

"Kusheherekea siku ya kuzaliwa siku moja na mwanangu ni furaha tele maishani mwangu ,najivunia kuwa nawe Naseeb Junior kwangu ni heshima na baraka mingi ,nakupenda sana mfalme wangu".Alisema Diamond kupitia mtandao wake.

Diamond kupitia mitandao ya kijamii aziweka picha walizopigwa pamoja na mwanawe akifurahi jinsi amekuwa mkubwa kupitia mtandao mamake msanii huyu wa Bongo alizungumzia jambo ili akitanja kuwa damu ni zito kuliko maji baada ya kuona wawili hawa pamoja.

Naseeb Juniour ni mtoto wa kiume wake msanii  Diamond Platnumz's ambaye walifanikiwa kumpata na aliyekuwa mpenzi wake mkenya Tanasha Donnah.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved