logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Zuchu asimulia jinsi anavyopenda mziki wa Taarab kuliko Bongo

Zuchu ametaja  mdudo  na utunzi wa muziki wa Taarab kuwa bora  zaidi ya ngoma zote

image
na

Habari11 October 2023 - 11:03

Muhtasari


•Zuchu mbali na kuwa msanii wa Bongo ametaja kupenda muziki wenye kuelimisha na pia  mdudo wa kuigwa

Msanii na nyota wa muziki nchini Tanzania amefunguka na kusimulia jinsi anavyopenda muziki wa Taarab kuliko muziki anaoufanya wa Bongo Flava.

Zuchu ambaye anafahimika sana kwa wimbo wake "Honey'' ameutaja wimbo wa Taarab kama wimbo wenye maneno  yenye maana fiche ambayo kila mwanadamu hanastahili kuyapata akisimulia kulelewa kwa familia ambayo muziki wa Taarab umetawala.

"Napenda sana kuiga mfano wa muziki wa Taarab kila mara ninapokuwa kwenye starehe zangu nyimbo za taarab ndizo napenda sana zina maneno mazuri ambayo yanampa mwanadamu mwongozo wa maisha na pia kuelimisha ". alisema Zuchu.

Msanii huyu alisimulia kwenye mahojiano ya moja kwa moja jinsi ufuraishwa na mdudo wa nyimbo za taarab akisema kuwa nyimbo zake za Bongo pia kwa wakati mmoja zitahiga binu hii.

Khadija Omari  Kopa   mwimbaji wa muziki wa Taarab na mtunzi wa nyimbo kutoka nchini Tanzania ndiye mamake mzazi zuchu ambaye msanii huyu wa bongo alimtaja kufurahishwa na utunzi wa maneno ya heshima kupita muziki wa Taarab.

"Utunzi wa nyimbo mara mingi napenda  kuinga mfano wa Taarab mfano ukiwa kwenye ngoma zangu baadhi dezi usokotwa kwa  mdudo  tukifuata mfano wa Taarab". alisema msanii huyu.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved